(Inasemekana)HII NDIYO SANAMU KUBWA ZAIDI DUNIANI KUZINDULIWA SIKU MOJA BAADA YA KUZIKWA MANDELA

Sanamu kubwa zaidi duniani ya Nelson Mandela imezinduliwa katika mji mkuu wa Afrika kusini Pretoria siku moja baada ya rais huyo wa zamani kuzikwa.
Sanamu hiyo iliyotengenezwa kwa shaba ina urefu wa mita tisa na ina uzani wa tani nne unusu. Ilizinduliwa katika bustani la majengo ya bunge na inaonyesha Nelson Mandela akihimiza umoja na maridhiano.
Sanamu hiyo yenye mikono ya Mandela ikiwa wazi ilinuiwa kuonyesha Mandela alivyoliungaisha taifa zima kwa mapenzi yake.
Bwana Mandela lipewa mazishi ya kitaifa nyumbani alikozaliwa katika kijiji cha Qunu Jumapili
Familia ya Madiba , viongozi wa ANC , viongozi wa Afrika na maafisa wengine wakuu walihudhuria mazishi hayo katika kijiji cha Qunu mkoani Cape Mashariki.
Kifo cha Mandela kilifuatwa na maombolezi ya siku kumi na sherehe za kukumbuka maisha ya Mandela aliyefariki akiwa na umri wa miaka 95.
Bendera ya nchi hiyo ilirejeshwa kupepea katika urefu wake wa kaiwada.
Mandela anakumbukwa kwa juhudi zake za kupatanisha wananchi na kupigia debe msamaha miongoni mwa watu na ndio maana leo ikawa siku iliyotengwa kwa ajili ya uzinduzi wa sanamu hiyo.
Wakati wa utawala wa wazungu, terehe 16 Disemba ilijulikana kama siku ya kuwakumbuka mashujaa wa Afrikaners walioshinda vita dhidi ya jeshi la Zulu mwaka 1883.
Zaidi ya karne moja baadaye mwaka 1961, Mandela alizindua jeshi lake la Umkhonto we Sizwe kupigana dhidi ya utawala wa wazungu
Share:

(Kama Hujui)HII LIST NDIYO YA MARAISI WA NCHI ZA AFRIKA.

Algeria: Abdelaziz Bouteflika
 
Angola: José Eduardo dos Santos
 

Benin: Yayi Boni

Botswana: Ian Khama
 

 Burkina Faso: Blaise Compaoré
 

Burundi: Pierre Nkurunziza
 

Cameroon: Paul Biya
 

Cape Verde: Jorge Carlos Fonseca
 

Central African Republic: François Bozizé
 

Chad: Idriss Déby Itno
 

Comoros: Ikililou Dhoinine
 

Dem. Rep. of Congo: Joseph Kabila
 

Rep. of Congo: Denis Sassou-Nguesso
 

Côte d'Ivoire: Alassane Ouattara
 

Djibouti: Ismail Omar Guelleh
 

Egypt: Muhammad Mursi
 

Equatorial Guinea: Teodoro Obiang Nguema Mbasogo
 

Eritrea: Isaias Afewerki
 

Ethiopia: Girma Wolde-Giorgis
 

Gabon: Ali Bongo Ondimba
 

The Gambia: Yahya Jammeh
 

Ghana: John Dramani Mahama
 

Guinea: Alpha Condé
 

Guinea-Bissau: Manuel Serifo Nhamadjo
 

Kenya: Uhuru Kenyata
 

Liberia: Ellen Johnson-Sirleaf
 

Madagascar: Andry Rajoelina
 

Malawi: Joyce Banda
 

Mali: Dioncounda Traoré
 

Mauritania: Mohamed Ould Abdel Aziz
 

Mauritius: Rajkeswur Purryag
 

Mozambique: Armando Guebuza
 

Namibia: Hifikepunye Pohamba
 

Niger: Mahamadou Issoufou
 

Nigeria: Goodluck Jonathan
 

Rwanda: Paul Kagame
 

São Tomé and Príncipe: Manuel Pinto da Costa
 

Senegal: Macky Sall
 

Seychelles: James Michel
 

Sierra Leone: Ernest Bai Koroma
 

Somalia: Sheikh Sharif Sheikh Ahmed
 

South Africa: Jacob Zuma
 

South Sudan: Salva Kiir
 

Sudan: Omar Hassan Ahmad al-Bashir
 

Tanzania: Jakaya Kikwete
 

Togo: Faure Gnassingbé

Tunisia: Moncef Marzouki
 

Uganda: Yoweri Museveni
 

Zambia: Michael Sata
 

Zimbabwe: Robert Mugabe
Share:

HIZI NI BAADHI YA NYIMBO DUNIANI ZILIZOWAHI KUMTAJA MANDELA


Jay Z – Oh My God
Lunch with Mandela, dinner with Cavalli
Still got time to give water out to everybody
Everybody, fall



 Diddy (Ft. Jay Z & The Notorious B.I.G.) – Young G's
Niggas bring the ruckus?
Because release dates bigger than Mandela's, motherf*ckers





 Game (Ft. Nas) – Letter to the King
I paint, make the Mona Lisa look like fake art
I feel the pain of Nelson Mandela
Cause when it rains




 DJ Khaled (Ft. Ace Hood, Big Sean, Vado & Wale) – Future
Productive than others
Married to Winnie, he think he really Nelson Mandela
That's fire though
One time for



 Jadakiss (Ft. Nas) – What If
Games people played?
What if Shyne beat the case?
What if Diddy did a dime flat?
What if Nelson Mandela



 2Pac – Liberty Needs Glasses
Stepped right over Oliver
And his crooked partner Ronnie
Justice stubbed her Big Toe on Mandela
And



 Kanye West – Tampa Visionary Stream of Consciousness
Edison. I had a dream that I was Mandela. I had a dream that I was Martin Luther King. I had a dream



 Lil Wayne (Ft. T-Pain) – Talk That
Teller
But my money old like Nelson Mandela
Higher than a propeller
And baby I can show you better than




 Cassidy – Peace
Never assassinated
Imagine if Malcolm X would have made it
And Nelson Mandela was never incarcerated





 Ghostface Killah (Ft. GZA & Killah Priest) – Purified Thoughts
    Benin

    Village style, feeding the children
    Big pots of jasmine tea with Mandela
    Africans chanting me on




 Will Smith (Ft. Mary J. Blige) – Tell Me Why
Sniper make that little boy shoot
And why, is human life always denied for loot?
Tell me WHY did MANDELA



 Game (Ft. Jim Jones & Juelz Santana) – The Games
Up a cartridge

And my gorillas will get you, I give a fuck if you send Mandela to squash it



 KRS-ONE – I Was There
Carmichael
Was passin on, I was there
When Nelson Mandela was freed from prison
And spoke out at Yankee





 Styles P (Ft. Talib Kweli) – Testify
And why nobody flip when Martin was killed?
Why Mandela did all them years
All that blood, all that


source--djro arungu
Share:

OBAMA ASHINDWA KUZUNGUMZA AKITANGAZA KIFO CHA MANDELA

Katika hali ya kushangaza wengi,raisi wa Marekani ashindwa kuzungumza wakati akitoa tamko kuhusiana nakifo cha Raisi wa zamani waAFRICA KUSINI

Habari zinasema kwamba wakati Obama akitoa tamko kwa vyombo vya habari nchini humo kuhusiana na kifo cha shujaa huyo alisita sita mara kadhaa kabla ya kutamka kuhusu kifo hicho cha Mandela.


Share:

KURASA ZA MAGAZETI MBALIMBALI ZATAWALA PICHA ZA MANDELA

Baada ya hapo jana majira ya saa 2 usiku kwa saa za afrika ya mashariki kutangazwa kifo cha aliyekuwa mpigania uhuru na raisi wa kwanza wa Afrika kusini Bw.Nelson Mandela,leo hii magazeti mbalimbali duniani yatawala kwa habari hiyo

ANGALIA MAGAZETI HAYO


Share:

BABY MADAHA vs DIAMOND NANI ZAIDI?

Baada ya mwanamuziki wa kizazi kipya kufunguka na  kuamua kumdiss mwanadada baby Madaha a.k.a The Bad Gul kuwa hawalingani hivyo hana muda muda wa kuwa na beef na mrembo huyu wa filamu na muziki bongo, hatimaye tumeweza kumpata baby Madaha na kufanya naye EXCLUSIVE interview na mwanadada huyu kuhusu hayo mazito aliyoyasema bwana platnumz. Na kwakuwa mwaka huu ni mwaka wa kufunguka bila kuficha chochote binti huyu aliamua kuanika yake ya moyoni kama yanavyosomeka hapo chini….

 Baby alianza

“….Kwanza nitafute keeck kwa diamond kwa lipi,wakati anakuja kuniomba kuperfome 2010  akiwa ana single moja ya mbagala pale maisha plus mimi nikiwa judge na kina masoud,tayari nishafanya album ya amore india na nishapiga show kibao,wakati yeye akifikiria amkamate demu gani ili a hit kimuziki mimi tayari nishafanya  movie tatu na moja imeshinda ziff tz na ziff berlin,akiendelea kuwapanda kama farasi hao wajinga wajinga wenzie mie tayari nina tuzo tatu ziff ambazo hata marehemu kanumba angefurahi kupata japo moja(rip)….”

“…..Wakati sasa anaongea blah blah akiwa na single yake moja mpya akihangaika kwenda nigeria kuonyesha skin tight yake ya mistari na kuomba omba collarbo, mi tayari nina single tatu hit na najiandaa kushusha movie kali mpya,tatizo ni kutotaka kukosolewa na kujiona mungu mtu kwenye muziki lakini ukweli anaujua na hata yeye anauogopa kama anabisha afanye nao collarbo anahangaika nini na wote wanaimba bongo flava??upuuzi na ujanja ujanja tu wa mjini unafanyika huku wale punda wake wakikubali kumbeba kwa malipo gani umaarufu???mi sijautafuta kwa nguvu hiyo, nimepikwa bss na watu wakaniona na wakanitambua.kama ni suala la pesa hata asiongee launching yangu ya (kempinsky)hyatt regency 2010 hakuna msanii yeyote wa bongo flava including na yeye ameweza kufanya jeuri hiyo,aliyejaribun labda yule demu wake wa zamani aliyemshit pia kwa vihela vyake mbuzi…”

“….Akiwa bado anastruggle kupata mkwanja awatishe tishe watoto wenzake wa tandale..mimi nishazindua brandy yangu ya manukato na gift bagz zangu ambazo zinaingia sokoni rasmi 31 december…bado anachanja na prado old model,asogee kwenye audi tt yangu apunge upepo yani ye anatafutaa..mi nishapata so wa nini???wanaompapatikia ni wale drama queens wenzie, mi ama bad gul sijali kama kumchana namchana tu so wat??,scandal kitu gani?ye sukari guru ata survive si tandale bwana eeh, vipi wale kwenye list za kubadilishwa kama nguo za ndani je watapata wa kuwaoa???/… wakija forbes hapa watu wataumbuka ooh na hekalu langu kuubwa unakaaje kwenye nyumba ya kupanga?haliishi??hahahaha na kuhusu ati mimi nimesema ana paja la mtoto wapi na wapi he is not ma type at all si hook na little mama’s boy na hook up na big boys tu…”

“…. Mi sio wale farasi zake wanaopokezana kupandwa na yeye after role kuambiwa ukweli sio bif kweli mzinzi na hajui kuimba kama sio kweli atulie tu asipande pande hapo tutamwona mfalme kweli kama mzee yussuf,mimi naimba aina yangu ya muziki tanzania nzima nipo peke yangu hakuna demu anapiga riddim,ragga sasa natafutaje keeck kwa bongo flava????anaeimba nyimbo zake za kipuuzi kutaja taja farasi wake ana (tusi kali sana) angekuwa ameni***** sawa but mpaka anakufa i think atakuwa ananiota mimi na lulu……….kama mbwai mbwai  mjini hapa kila nyumba ina namba..adios…”



Share:

NELSON MANDELA IS DEAD

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ameaga dunia.
Mandela amefariki huko Johannesburg akiwa na umri wa miaka 95 na yeye ndiye aliongoza Afrika Kusini kutoka mikononi mwa watawala wa ubaguzi wa rangi baada ya kufungwa jela kwa miaka 27.
Mandela alikuwa anatibiwa homa ya mapafu nyumbani kwake baada ya kulazwa hospitalini kwa miezi mitatu.
Katika taarifa yake kwa watu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, alisema kuwa Mandela amewaaga lakini yuko mahali salama.
Mnamo mwaka 2005, Mandela alitangaza kwa taifa kuwa mwanawe wa kume alifariki kutokana na ugonjwa wa Ukimwi.
Rais Zuma amesema kuwa taifa limepoteza mtu waliyemjua kama mtoto wa taifa hilo.
Mandela aliwahi kushinda tuzo ya amani ya Nobel, na kutambulika kama rais aliyeheshimika sana hasa kwa kupatanisha watu wa Afrika Kusini baada ya kuondoka gerezani.
Hakuonekana sana hadharani tangu alipostaafu mwaka 2004.
Share:

(VIDEO) PAUL WALKER ALIVYOPATA AJALI ICHECK HAPA

Ajali iliyotokana na mwendo kasi na kusababisha kifo cha Paul Walker na Roger Rodas ilisababisha mripuko na cheche ambazo zilionekana toka mbali... Kipande hiki cha video kilirekodiwa na kamera za usalama.

Kipande hiki cha video kilichukuliwa toka kamera iliyokuwa juu ya jengo kwenye eneo la viwanda karibu na eneo ambalo ajali hiyo ilitokea. Ikionyesha mlipuko wenyewe (upande wa kulia wa skrini) ambao ulisababisha gari hilo aina ya Porsche kulipuka na kugawanyika kwa vipande, muda mchache kabla ya mlipuko mwengine mkubwa uliosababisha moshi mkubwa na cheche za moto kutawanyika hewani.


Share: