JE UNALIJUA HILI?

Je umeshajiaandaa kutoka wikend hii?Basi usiende kwengine bali njoo NAKA VIP CLUB maeneo ya TEMEKE kwa AZIZ ALLY....
Burudani zitaanza mida ile ya saa 3 mpaka majogoo.
Bila kusahau kuwa KIINGILIO ni miguu yako na pesa yako ya kunywa gammbe tu  mpaka asubuhi.
Kama hupajui na unatokea mbali we njoo mpaka TEMEKE KWA AZIZ ALLY kisa mtafute dereva yeyote wa bodaboda muulizie sehem inaitwa NAKACHALE utaletwa MPAKA
ndani.

USIKOSEE...MDAU...WANGU




Share: