(VIDEO) PAUL WALKER ALIVYOPATA AJALI ICHECK HAPA

Ajali iliyotokana na mwendo kasi na kusababisha kifo cha Paul Walker na Roger Rodas ilisababisha mripuko na cheche ambazo zilionekana toka mbali... Kipande hiki cha video kilirekodiwa na kamera za usalama.

Kipande hiki cha video kilichukuliwa toka kamera iliyokuwa juu ya jengo kwenye eneo la viwanda karibu na eneo ambalo ajali hiyo ilitokea. Ikionyesha mlipuko wenyewe (upande wa kulia wa skrini) ambao ulisababisha gari hilo aina ya Porsche kulipuka na kugawanyika kwa vipande, muda mchache kabla ya mlipuko mwengine mkubwa uliosababisha moshi mkubwa na cheche za moto kutawanyika hewani.


Share: