AJALI YAUWA 1 NA 50 WAJERUHIWA

Habari kutoka Kenya leo jumapili zinasema kuwa ajali mbaya ya basi la abilia lililopinduka karibu na Ngala eneo la Kisii huko Nairobi baada ya basi hilokuacha njia wakati likijaribu kukata kona katika moja ya kona za barabara ya kipande.


Share: