COLLABO NYINGINE AFRIKA NA MAREKANI NI HII HAPA

Baada ya Davido kupaa mpaka Marekani na kufanya ngoma na mkali wa rap Meek Mill,msanii mwingine wa Afrika kutokea pande za Ghana anaitwa Sackodie nae amepaa mpaka marekani na kufanya ngoma na mkali mwingine wa rap huko anaitwa ICE HOOD.




Share: