BREAKING NEWS-M TO THE P AMEAMISHWA KUTOKA WODI YA WAGONJWA MAHUTUTI

HABARI KUTOKA JOHANNESBUG NA MILLAD AYO

"M TO THE P meshatoka katika wodi ya wagonjwa mahututi hapa johannesbug na ameshaanza kupata kumbukumbu.Ambapo alipouliza ngwea yupo wapi alijibiwa ngwea katangulia nyumbani TANZANIA.

M to the P bado hajaanza kula chakula zaidi anakunjwa vimiminika kama vile juice.

Mmoja wa watu wa karibu na ngwea ,SA GOD alisema kuwa "nimeishi na Ngwea kwa zaidi ya wiki mbili hapa Johhanessbug na Ngwea alihairisha mara 3 kurudi Tanzania.
Share: