(Picha)HII NDIYO NIGHT CLUB MPYA JIJINI-CLUB LITE

Ikiwa tasnia ya kufanya starehe kushika kasi jijini dar,sasa kumefunguliwa kiwanja kipya kabisa.Club yenye mazingira mazuri sana ambayo imejengwa kwa ustadi wa hali ya juu sana.Ingawa eneo ilipo ni mahala ambapo mtu huwezi kuamini kama panaweza kuwepo night club nzuri namna hii kama mimi mwandishi nilivyoiona.
Jina la club hiyo likiwa limetokana na bia maalufu sana ya CASTLE LITE,Ndipo club hiyo ikapewa jina la CLUB LITE.Najua wengi wetu tunajua maana ya neno LITE basi ndivyo hivyo hivyo club hiyo ilivyo kutokana na muonekano wake pia burudani inayopatikana hapo.

ENEO ILIPO.
Club lite inapatikana kigogo karibu na kigogo police post ndani ya baa maalUfu kigogo  nzima yaani NEW PALM VIEW BAR ama wengine huita BAA MPYA.

RATIBA YA BURUDANI.
INAANZIA ............JUMA5-  WANAUME & WANAWAKE - 5000 Wakati nje ya baa kuna baikoko


                             ALHAMISI & JUMAPILI - WANAWAKE BURE
                                                                   - WANAUME 5000


                              IJUMAA & JUMAMOSI-WANAWAKE & WANAUME 5000

Inategemewa kuwekwa siku wanaume bure yaani gentlmen FREE.

HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA MUONEKANO WA NDANI WA CLUB LITE


Share: