BREAKING NEWS MATOKEO YA KIDATO CHA 6 YATANGAZWA

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANATANGAZWA!
Baraza la mitihani hivi sasa linatangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2013. Matokeo hayo yatapatikana muda mfupi ujao kwenye tovuti yetu.
Asilimia 93 ya waliofanya mtihani huo wa kidato cha 6 wamefaulu.
Shule ya kwanza iliyoongoza ni Marian Girls ya mkoani Pwani na ya pili ni Mzumbe ya Morogoro.
Mwanafunzi wa 1 wa kiume kwa sayansi ni Erasmi Inyase kutoka Ilboru, na kwa wasichana ni Lucylight wa Marian girls.
Upande wa masomo ya Biashara mwanafunzi wa 1 ametoka shule ya Tusiime anaitwa Erick Robert.
Wanafunzi 89 matokeo yao yamezuiliwa kwa sababu mbalimbali.
Wanafunzi watakaothibitika kuwa walikuwa na matatizo ya kiafya, watapewa nafasi ya kurudia mtihani
Matokeo hayo yatapatika katika link muda mfupi ujao 
Share: