"PINDA AWAOMBE RADHI WANANCHI"KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU

Kituo cha sheria na haki za binadamu-LHRC kimemtaka waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda,kuwaomba radhi Watanzania kupitia bunge, kufuatia kauli aliyoitoa hivi karibuni bungeni mjini Dodoma , akiviamuru vyombo vya ulinzi na usalama likiwemo jeshi la polisi kuwadhibiti wananchi kwa kuwapiga pale wanapo kaidi amri halali inayotolewa na jeshihilo
source ITV
Share: