Je Wajua??? EMANUEL ADEBAYO ALIKUWA AMEPOOZA MIGUU KWA MIAKA 4 TANGU ALIPOZALIWA

Mchezaji machachari Emannuel Adebayo alikuwa ni mtoto ambaye amezaliwa akiwa amepooza miguu na ilisemekana angekuwa mlemavu kabisa.Wazazi wake walihangaika kila kona kutafuta tiba ya maradhi yake bila mafanikio.Ndipo siku moja mpira uliingia katika kanisa alilokuwa akifanyiwa maombi ghafla alinyanyuka na kuukimbilia ndipo alipoanza kutembea .

ANGALIA VIDEO HAPA CHINI

Share: