MSICHANA ACHAPWA VIBOKO KWA KUVAA NUSU UCHI

Mmomonyoko wa maadili unazidi kuangamiza vijana hasa watoto wa kike.Mapema hii leo jijini arusha msichana ajikuta akichapwa viboko kisa ni nguo fupi aliyokuwa amevaa.Watu wanaopenda kuendeleza maadili ya jamii walilikosoa jambo hilo na kuamua kumchapa viboko msichana huyo.

HABARI KAMILI BOFYA HAPA KUTOKA ITV

MSICHANA ACHAPWA VIBOKO



Share: