MAGAIDI 3 WAUWA,ASKALI 11 WA KENYA WAMEJERUHIWA

Taarifa za hivi karibuni kutoka kwa msemaji wa jeshi la kenya KDF zinasema kuwa askali 3 wanaosadikiwa kuwa ni magaidi wameuwa na jeshi lake.Pia ametoa taarifa kuwepo kwa majeruhi 11 wa jeshi lake KDF.

Aliongeza tena kutoa takwimu za watu waliookolewa kutoka katika jengo hilo ambao idadi yake hakuitaja kamili zaidi alisema ni zaidi ya 62.


Raia 11 wanashikiliwa na jeshi hilo kwa mahojiano zaidi,huku milio ya risasi ikiendelea kusikika katika eneo la tukio.


"Kenya Defence Forces ( KDF) has reported that three terrorists have been killed and 11 Kenyan soldiers injured in the Westgate operation that has lasted for over 48 hours"


Share: