KILA IJUMAA NA JUMAMOSI HILI NDILO TUKIO

Kila Ijumaa na Jumamosi sehemu ni moja tu ya kupata BURUDANI nayo ni AMBROSIA BISTRO n BAR iliyopo maeneo ya MBEZI BEACH AFRIKANA ukichukua bajaji  ukimwambia utaletwa mpaka ndani ya mjengo.

Unakaribishwa sana mdau wa burudani


Share: