ANGALIA KUHUSU USIKU WA LEO JUMATANO

New palm view bar na CLUB LITE maeneo ya kigogo wanakuletea bonge la burudani.Upande wa nje wa BAR kutakuwa na wakali wa mauno kundi zima la BAIKOKO wakiwa wanatoa burudani kabambe bila kiingilio.

Baada ya hapo sasa burudani inahamia ndani ya mjengo yaani CLUB LITE eneo hilo hilo ukiwa na wakali wa kukimbiza disko jijini yaani YOUNG DJs hapo utamkuta Dj Valela na Dj Deo.

Kiingilio ni kidogo tu sh 3000/= tu unazama ndani ukutane na watoto wakali.

Usikose !!!!!!


Share: