LIST WATAOSHUKA FIESTA 2013(NOUMA SANA)

Hii ndio list ya wasanii watakaodondoka dar uwanja wa leaders club Kinondoni katika show kali ya fiesta mwa huu 2013.Ikionyesha jukwaa kutawaliwa zaidi na miondoko ya azonto baada ya kudondosha wasanii wa 3 wanaofanya staili hiyo maarufu kwa nchi za nigeria na Ghana.Bila kusahau wapenzi wa Reggae wasikose kuja kumuona mwanadada machachari kutoka Jamaika Alaine.

Wasanii wa nyumbani pia hawajaachwa nyuma wapo kibao.

Vilevile mkali wa Dancehall kutoka sweden mtu mzima Mohombi atatondoka na Coconut tree.

NUOMA SAAAAAAAAAAAAANA.

 Huyu ni mwanadada Alaine toka Jamaika anaetamba na ngoma kadhaa za reggae kama vile You are me,Sacrifice n.k na ile ngoma kali NAKUPENDA PIA aliyoshirikishwa na msanii toka kenya Wyre.
\

 Mkali wa miondoka ya dancehall toka sweden Mohombi anayetamba na ngoma kama vile Coconut tree,Bumpy ride n.k


 Mkali anayefukuza nyota ya P Square DAVIDO anaetamba na ngoma kadhaa kama vile Skelewu,Damiduro,Gobe n.k


 Kichwa cha Nigeria mzee wa KUkere Iyanya.


Msanii aliyepata kushirikishwa katika ngoma kadhaa za bongo kama vile kukunja goti ya ay na fa na TUPOGO ya Ommy Dimpoz,na yeye akiwa anatamba na vibao kama vile iva,Touching body,goodtime n.k Jmartins.
Share: