NE YO NDIO MSANII ATAKAEPIGA SHOW KWENYE MTV MAMAZ-2015

Tuzo kubwa za muziki Africa zijulikanzazo kama MTV MAMA2015 zitakzofanyika tarehe 18 july 2015 huko KWAZULU NATAL - SOUTH AFRIKA zitapambwa na msanii wa kimataifa kutoka marekani NE YO.

Katika tuzo hizo ambazo zimeweza kuwataja wasanii wawili wa TANZANIA kuwania vipengere kadhaa vikiwemo MSANII BORA WA KIUME(BEST MALE) , WIMBO BORA WA KUSHIRIKIANA(BEST COLLABO) na MTUMBUIZAJI BORA(BEST LIVE) akiwa amekaa Msanii DIAMOND katika vipengere hivyo.

Vilevile katika kipengere cha MSANII BORA WA KIKE(BEST FEMALE) akiwa amekaa VANESA MDEE akishindana na wasanii wengine kutoka afrika.

Ili kuweza kuwapigia kura wasanii hao wa tanzania unaweza kuingia katika link ifuatayo

VOTE FOR MTV MAMA2015



Share: