HII HAPA MIXTAPE / NON STOP ILIYOFANYWA NA MADJ WAWILI

Tumia dakika zako 30 tu kusikiliza uwezo wa hawa vijana katika kuamsha vibe zako ...

Playlist ya kwanza imefanywa na DJ DEO na playlist ya pili imefanywa na DJDIDA ...

Ni moja ya kolabo nzuri kwa madj hawa hapa nchini ... Lakini akiongea na blog hii DJ DEO amesema kuwa ni projekti ambayo ameamua kuianza ili kuleta ushirikiano mzuri kwa madj nchini ...
Projekti hiyo imepewa jina la UNLOCK THE STREETS yaani FUNGUA MITAA hakika ukisikiliza mixing na ngoma za humu kweli utajua kuwa mitaa imefunguliwa ....
Ikiwa hii ni Projekti ya kwanza yaani VOL.1 je katika volume 2 itakuwaje na DJ Nani na Nani watakuwa wameifanya ... Kaa Tayari Kwa Hilo ....

BONYEZA HAPO CHINI UWEZE KUIDOWNLOAD na KUISIKILIZA


BONYEZA HAPA




Share: