FEZZA KESSY NA ONEAL KITAELEKA TU

Baada ya kukutana big brother na kuchipua  penzi kati ya kijana wa botswana Mr Oneal na Mrembo kutoka Tanzania Fezza Kessy,sasa penzi hilo limefika patamu baada ya mwanadada huyo kutolewa mjengoni na kurudi TZ siku chache zilizopita,na hivi karibuni ameamua kumfuata mchizi huko alipo kwao Botswana.
Pamoja na yote Feza amekuwa akitupia tweet kadhaa mtandaoni zikionyesha kuzimika kinoma na mchizi huyo wa Botswana.

Ama kweli penzi la dhati halijalishi umbali ulipo utalitafuta mpaka upate.



PICHANI FEZA AKIWA NYUMBANI KWA KINA ONEAL BOTSWANA
Share: