HAWA NDIO WAANZILISHI WA "WHATSAPP"


Whatsapp ni application wa kutuma messeji ambayo imetengezwa mnamo mwaka 2009 na watu wawili ambao ni  Brian Acton na Jan Koum.

Inasemekana hawa jamaa ni veterani wa yahoo mjini califonia.

Mpaka kufikia mwezi Augusti mwaka 2013 whatsapp imekuwa na watumiaji 300 million zaidi,na picha 325 million zimekuwa shared kupitia mtandao huo wa kijamii.

 Jan Koum
Brian Acton
Share: