NEY WA MITEGO & CHID BENZ SASA BIFU HAKUNA

Inajulikana bifu zito linaloendelea kati ya hawa wakali wawili lakini kwa sasa limefikia ukingoni baada ya madee kufanya kitu fulani na kuwaunganisha wakali hao wakati wakipiga show ya fiesta mjini SINGIDA hivi karibuni.

HABARI KAMILI BOFYA HAPA CHINI

NEY & CHID BENZ NO BEEF



Share: