SAMAKI SAMAKI YAWAKA MOTO

Baa maarufu iliyopo maeneo ya mbezi beach jiji dar yateketea kwa moto leo mida hii ya mchana kikiwa chanzo cha moto huu mpaka sasa hakijajulikana.
Wananchi wa maeneo ya karibu wanajaribu kudhibiti hali hiyo ambayo mpaka sasa imedhibitiwa kwa kiasi kikubwa.


Share: