(Progeria) UGONJWA WA AJABU UNAMFANYA MTU AZEEKE HARAKA

Ugonjwa wa ajabu unaosemekana kuibuka duniani ambao mpaka sasa inakadiriwa watu 80 wameathirika kutokana na ugonjwa huo.Ugonjwa huu unasemekana mtu akiupata huwa unamfanya akue haraka zaidi kuliko kawaida amabapo imekadiriwa mtu mwenye ugonjwa huu ana uwezo wa kukua kwa zaidi ya mara 8 ya umri alionao ina maana kama una miaka 20 zidisha mara 8 utakuwa na miaka 160.
Ugonjwa huu unaitwa PROGERIA ambao mpaka sasa umeadhiri zaidi nchini india.

Kati ya kijana aliyeadhirika na ugonjwa huu ni kijana huyu mwenye miaka 14 ambaye kwako wewe ndugu msomaji na mtembeleaje wa blog hii ukiangalia picha utaona ni kama mtu mwenye miaka 90 mpk 100.
Kijana huyo anayeitwa All Hussain mwenye miaka 14 ndiyo muadhirika wa ugonjwa huo kutoka India ambaye anasema kuwa ana matumaini ya kupona kwakuwa anamini dawa ya ugonjwa huo ipo.Ingawa wazazi wa mtoto huyo wakiwa na hofu ya kumpoteza mtoto wao kwakuwa hapo nyuma waliwapoteza wengine kutokana na ugonjwa huo.



BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI UGONJWA WA AJABU
Share: