HII NDIYO SABABU YA AL SHABAAB KUPIGA WESTGATE

Katika mahojiano yaliyofanyika hivi karibuni baada ya tukio la mashambulizi nchini Kenya katika sehemu ya kibiashara ya westgate mall,kiongozi wa al shabaab amesema sababu za wao kuamua kushambulia eneo hilo.

".....ni kwa sababu sehemu hii inaingiza pesa nyingi na ipo katikati ya jiji.Ni sehemu wanasikia maumivu na tulitaka ujumbe ufike......."


HILI NDILO JENGO LILILOSHAMBULIWA NA AL SHABAAB NCHINI KENYA
Share: