(Picha) MOSHI UKIWA UNATOKA KATIKA JENGO LA WEST GATE

Mchana wa leo eneo la West gate kumeonekana moshi mzito ukiwa unavuka kutokea ndani ya jengo lililoshambuliwa jana na kikundi cha kigaidi cha Al shabaab nchini kenya.Kwa mujibu wa BBC wanasema wanajeshi wa Kenya walilipua mabomu  ili kuendelea kukabiliana na tukio hilo.Pia mpaka sasa inasemekana watu waliofariki yafikia 69 na na wengine mamia wamejeruhiwa huku idadi isiyojulikana wakiwa wameshikiliwa mateka na Al Shabaab!!



Share: