WAISLAM WAPINGA MISS WORLD KUFANYIKA INDONESIA

Waislamu kutoka nchini Indonesia wamepiga vita kufanyika mashindano ya dunia ya urembo nchini humo.Kikundi kimoja cha kiislamu kinachoitwa  Indonesian hard line Islamic group kilifanya maandamano makubwa kupinga swala hilo kufanyika ndani ya nchi hiyo na kukiita kitendo hicho kuwa ni ukafiri.
Maandamano hayo yamefanya kuhairishwa kwa mashindano hayo kufanyika Jarkata nchini humo na kutarajiwa kufanyika BALI nje kidogo ya mji wa Jarkata mwishoni mwa mwezi huu tarehe 28/9/.








Share: