ROBIN VAN PERSIE- "NAPENDA KUSIKILIZA NYIMBO ZA P SQUARE"

Mshambuliaji machachali wa Manchester United,Robin Van Persie amesema kuwa kati ya vitu anavyopenda wakati akiwa nyumbani kapumzika ni kusikiliza muziki.Alipoulizwa ni aina gani ya muziki ambao anapenda kusikiliza,moja ya watu aliowataja ni wanamuziki kutoka nigeria P Square

Nukuu  alijibu hivi

 “I like to listen to music. ..all sorts honestly. I can listen to Dutch songs, English songs..whatever…if the tune is good I like it… Michael Jackson, Usher, P-Square…all sorts honestly.”




Share: