BREAKING NEWS - ELBORU SEKONDARI YAFUNGWA

 Shule ya Sekondari Ilboru, imefungwa na serikali kufuatia tishio la kuchomwa moto, kutokana na mgogoro wa wanafunzi na waalimu. Wanafunzi 4 wanahojiwa, 800 wamerudishwa nyumbani
Share: