ZITO KABWE ASHANGAZWA NA KATUNI ALIYOCHORWA

Baada ya mapema wiki hii Zito Kabwe kufunguka hadharani kuhusu hesabu za serikali,magazeti kadhaa yamepata kuandika na kuchora katuni mbalimbali kuhusiana na suala hilo.Kupitia account yake ya twitter Zito Kabwe ametweet picha ya katuni moja iliyopo katika gazeti la Tanzania Daima na kuandika maneno yafuatayo.

"Katuni ya Tanzania Daima leo.Inashangaza sana.Siku ya pili leo katuni za suala moja."




Share: