RAY C AFUNGUKA KUHUSU MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA

Msanii maarufu wa Muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rehema Chalamila almaaruf Ray C,ambaye hivi karibuni alitoa wito kwa serikali kuwanyonga wale wote wanajihusisha na biashara ya dawa za kulevya.
Mwanamuziki huyo hivi sasa yuko kwenye kliniki maalum akipata tiba kutokana na kuathiriwa na matumizi makubwa ya dawa za Kulevya, baada ya kupata msaada kutoka kwa Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania.
Erick David Nampesya alikutana naye hivi karibuni jijini Dar es Salaam

REPORT BBC SWAHILI

Share: