DIAMOND NA VANNESA MDEE WATAMBA TRACE TV

Kituo kikubwa kabisa cha televisheni cha trace kinachorusha NYimbo 10 bora za Afrika,kwa sasa Watanzania washika kasi baada ya chat hizo kushikwa na wasanii wawili toka Tanzania

Nafasi ya 8 imekamatwa na VANNESA MDEE FT. K.O -NOBODY BUT ME

Nafasi ya 2 imekamatwa na DIAMOND FT. MR.FLAVOUR- NANA



Share: