Kituo kikubwa kabisa cha televisheni cha trace kinachorusha NYimbo 10 bora za Afrika,kwa sasa Watanzania washika kasi baada ya chat hizo kushikwa na wasanii wawili toka Tanzania
Nafasi ya 8 imekamatwa na VANNESA MDEE FT. K.O -NOBODY BUT ME
Nafasi ya 2 imekamatwa na DIAMOND FT. MR.FLAVOUR- NANA