HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA UTENGENEZAJI WA VIDEO YA DIAMOND Feat MR FLAVOUR - NANA


Ile video inayotamba kwa sasa katika vyombo mbalimbali vya habari Tanzania na Africa kwa ujumla ya msanii maarufu wa Tanzania Diamond akiwa ameshirikiana na Mr.Flavour kutoka Nigeria inayoitwa Nana,Je unajua ilitengenezwa vipi? Basi ilikuwa hivi
Share: